Back to home
Kituo cha tamaduni chaanzishwa Kilome kuhifadhi urithi wa jamii ya Abantu
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2026
1h ago
Kituo maalum cha kuhifadhi na kutoa mafunzo ya tamaduni na mila za jamii za abantu kimeanzishwa katika eneo la Makoyo eneo bunge la Kilome kaunti ya Makueni. wakenya wametakiwa kutopuuza mila na tamaduni zdenye maadili.
Advertisement
Advertisement



