Back to home

Nyamira: Morris Morwani afuga bata mzinga ili kujimudu kimaisha

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 30, 2026
3h ago
Ukosefu wa ajira za ofisini unazidi kuongezeka kila kuchao. Kadiri ajira hizo zinavyozidi kuwa chache, vijana wengi hasa maeneo ya vijijini wameamua kujigeuza wajasiriamali wa kilimo. Morris Morwani wa miaka 27 kutoka kijiji cha Kiendege, eneo bunge la Kitutu Masaba, Kaunti ya N
Advertisement