Back to home

Langas: wakazi na wahudumu wa afya walalamika kuhusu uendeshaji wa Hospitali ya Langas Racecourse

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 30, 2026
3h ago
Katika Kaunti ya Uasin Gishu, wakazi na wahudumu wa afya (CHPs), eneo la Langas wameeleza wasiwasi wao kuhusu uendeshaji wa Hospitali ya Langas Racecourse Nursing Home, wakidai kuwa wanakosa baadhi ya huduma muhimu za matibabu na kulazimika kulipa ada wanazosema ni za juu kuliko
Advertisement