Back to home
Kampuni za maji zalalamikia Serikali kutokana na gharama kubwa ya umeme
video
C
Citizen TV (Youtube)July 31, 2026
2h ago
Serikali yahimizwa kupunguza gharama za umeme za kampuni za maji.Wadau wa sekta ya maji wadai kuwa gharama hizo za umeme ni za juu mno, jambo linalowalazimu kuelekeza mzigo huo kwa wateja wao.
Advertisement
Advertisement




