Back to home
Ruto awataka Wakenya kuwajibikia Katiba, akosoa mahakama kwa kukwamisha sera za serikali
video
C
Citizen TV (Youtube)August 27, 2026
1h ago
Akiongoza kikao cha leo kuhusu miaka 16 ya katiba ya sasa, Rais William Ruto amewataka wakenya kuendelea kuwajibikia katiba na mara kwa mara kuhakiki taifa linapoelekea tangu kuanza kuishinishwa kwa katiba ya mwaka 2010. Hata hivyo, Rais ameonekana kukosoa hatua ya mahakama ya ma
Advertisement
Advertisement



