Back to home
Ruto akiri makosa ya serikali wakati wa maandamano ya Gen-Z, asema damu haikupaswa kumwagika
video
C
Citizen TV (Youtube)August 27, 2026
1h ago
Rais William Ruto Jioni ya leo ameonekana kukiri makosa ya serikali yake wakati wa machafuko ya maadnamano ya Gen-Z miaka miwili iliyopita akidai kwamba damu haingepaswa kumwagika. Rais Ruto aliyezungumza kwenye kikao cha kuangazia miaka 16 ya katiba ya sasa hapa Nairobi, amesema
Advertisement
Advertisement



