Back to home

Wakulima katika Kaunti ya Bungoma wahamasishwa kuhusu mbinu za ukulima za kisasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 31, 2026
2h ago
Juhudi za kuimarisha kilimo katika Kaunti ya Bungoma zapata msukumo mpya baada ya serikali ya kaunti kwa ushirikiano na wadau mbalimbali kuzindua mpango wa kuhamasisha wakulima.
Advertisement