Back to home
Familia ya Jimmy Mutava yalilia kutoweka kwake Mlolongo
video
C
Citizen TV (Youtube)July 31, 2026
2h ago
Familia ya mfanyabiashara Jimmy Mwanzia Mutava inaishi kwa hofu kufuatia kutoweka kwake katika eneo la Mlolongo, Kaunti ya Machakos.
Tukio hilo linajiri kufuatia madai kuwa alitoweka baada ya kukutana na afisa mmoja mkuu wa Kituo cha Polisi cha Mlolongo.
Picha za CCTV zinaonyes
Advertisement
Advertisement





