Back to home
Upinzani wakosoa ruwaza ya maendeleo ya Rais Ruto
video
C
Citizen TV (Youtube)July 31, 2026
2h ago
Viongozi wa upinzani wamepuzilia mbali ruwaza ya maendeleo iliyodokezwa na Rais William Ruto Alhamisi usiku, wakisema kuwa uongozi wake umeshindwa kuboresha uchumi wa taifa.
Viongozi hao wanaojumuisha kinara wa DCP Rigathi Gachagua, kinara mwenza wa Wiper Kalonzo Musyoka, naibu
Advertisement
Advertisement




