Back to home
Viongozi wa serikali jumuishi wasifu dira ya maendeleo ya 2060
video
C
Citizen TV (Youtube)July 31, 2026
2h ago
Viongozi wa serikali jumuishi wamesifia hotuba ya Rais iliyoashiria mpango wa maendeleo ya serikali utakaotekelezwa hadi mwaka wa 2060.
Wakizungumza katika maeneo tofauti, viongozi hao wamesema kuwa ruwaza hiyo italiweka taifa katika ligi ya mataifa yaliyostawi zaidi duniani.
Advertisement
Advertisement





