Back to home
Mtoto wa miaka 3 azama kwenye kidimbi cha kuogelea Mvita, Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)August 1, 2026
1h ago
Mtoto wa miaka mitatu amefariki baada ya kuzama kwenye kidimbi cha kuogelea huko Mvita kaunti ya Mombasa. Kulingana na familia yake, juhudi za kumwokoa hazikufua dafu kwani hakukuwa na mlinzi wa kidimbwi. Waziri wa elimu kaunti ya mombasa amewataka wanaomiliki vidimbwi kufuata sh
Advertisement
Advertisement




