Back to home
Familia ya ndugu wawili wa Kianjokoma waliouawa miaka 5 iliopita bado inalilia haki
video
C
Citizen TV (Youtube)August 1, 2026
1h ago
Miaka mitano baada ya vifo vya ndugu wawili kutoka Kianjokoma katika kaunti ya Embu, familia imetaka kesi iliyoko kortini kuharakishwa. Familia ya Benson Njiiru na Emmanuel Mutura vijana wawili wanaosemekana kufariki baada ya kushikwa na polisi wanasema mashahidi tisa pekee kati
Advertisement
Advertisement





