Back to home

Mwanamke akamatwa kwa kudaiwa kumuua mumewe Nakuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 2, 2026
3h ago
Polisi kaunti ya Nakuru wamemkamata mwanamke anayedaiwa kumuua mumewe kwa kumchoma kisu nyumbani kwao katika eneo la Rongai. Mwanamke huyo wa miaka 37 anadaiwa kumchoma kisu mumewe, Alphonse Ochieng, mwenye umri wa miaka 27, kufuatia mzozo wa kinyumbani. Majirani wameripoti kuwa
Advertisement