Back to home
Watu Wenye Ulemavu Nakuru Walalamikia Matumizi ya Fedha Zao
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2026
42m ago
Watu wenye ulemavu katika Kaunti ya Nakuru wametishia kuwasilisha kesi mahakamani dhidi ya serikali ya kaunti wakidai kaunti imekataa kutoa fedha walizotengewa kwa kipindi cha miaka minne iliyopita.
Advertisement
Advertisement





