Back to home

Balozi Bishar Hussein ataka kuimarishwa kwa demokrasia ya maelewano kaskazini mwa Kenya

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 3, 2026
3h ago
Aliyekuwa Balozi wa Kenya miliki ya kiarabu na Mkurugenzi Mku wa Shirika la Posta Duniani, Balozi Bishar Abdirahman Hussein, ametoa wito wa kuimarishwa kwa mfumo wa demokrasia ya maelewano kaskazini mwa kenya.
Advertisement