Back to home
Tamasha la 98 la muziki latajwa kuimarisha utekelezaji wa mtaala wa CBE
video
C
Citizen TV (Youtube)August 3, 2026
3h ago
Tamasha la 98 la Muziki nchini Kenya ni nguzo muhimu katika kuimarisha utekelezaji wa Mtaala wa CBE kwa kuwapa wanafunzi nafasi ya kukuza vipaji, ubunifu na ujuzi wa vitendo kupitia sanaa.
Advertisement
Advertisement




