Back to home
Akina mama wa Diid wataka KeNHA kuongeza matuta kuzuia ajali
video
C
Citizen TV (Youtube)August 3, 2026
3h ago
Kina mama kutoka kijiji cha Diid kaunti ya Tana River wanataka mamlaka ya barabara kuu nchini KeNHA kuongeza matuta zaidi kwenye sehemu inayoshuhudia visa vya ajali vya mara kwa mara.
Advertisement
Advertisement



