Back to home
Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu watarajiwa kuongeza ajira
video
C
Citizen TV (Youtube)July 15, 2026
1h ago
Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta unaotarajiwa kuanzishwa katika kaunti ya Lamu na mfanyabiashara Aliko Dangote unatarajiwa kufungua fursa nyingi za ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi katika eneo hilo.
Advertisement
Advertisement





