Back to home
Vijana wa upinzani wazindua kampeni ya kumteua mgombea mmoja wa urais
video
C
Citizen TV (Youtube)July 15, 2026
1h ago
Baadhi ya vijana wanaounga mkono upinzani wametoa wito kwa viongozi wanaowania urais katika uchaguzi mkuu ujao kuharakisha mazungumzo na kumteua mgombea mmoja wa kumenyana na William Ruto
Advertisement
Advertisement





