Back to home

Mpango wa Nkalup waleta afueni kwa elimu ya watoto wa Samburu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 15, 2026
1h ago
Ni afueni kwa mamia ya wanafunzi wafugaji kutoka kaunti ya samburu kufuatia kuasisiwa kwa mpango wa Nkalup ambao unalenga kufanikisha ujenzi wa makanisa elfu moja kaunti hiyo huku makanisa hayo yakitarajiwa kutumika kama shule za chekechea siku za wiki na jumapili kuwa sehemu za
Advertisement