Back to home
Wakazi wa Turkana wataka kufidiwa kabla ya uchimbaji wa mafuta kuanza
video
C
Citizen TV (Youtube)August 3, 2026
2h ago
Huku shughuli ya uchimbaji wa mafuta ikitarajiwa kuanza hivi karibuni katika Kaunti ya Turkana, wakazi wa eneo hilo wameitaka Kampuni ya Gulf Energy kuwafidia kwanza kabla ya kuanza kwa shughuli hiyo muhimu.
Advertisement
Advertisement




