Back to home

Wakazi wa Turkana wataka kufidiwa kabla ya uchimbaji wa mafuta kuanza

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 3, 2026
2h ago
Huku shughuli ya uchimbaji wa mafuta ikitarajiwa kuanza hivi karibuni katika Kaunti ya Turkana, wakazi wa eneo hilo wameitaka Kampuni ya Gulf Energy kuwafidia kwanza kabla ya kuanza kwa shughuli hiyo muhimu.
Advertisement