Back to home

| Mwanamke Bomba| Caroline Njeri na biashara inayobadili maisha ya kina mama

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 28, 2026
1h ago
Mwanamke Bomba: Kwa takriban miaka sita sasa, Caroline Njeri Ng'ang'a amekuwa tegemeo la baadhi ya watu kiuchumi, si hapa jijini Nairobi pekee, bali pia kwa kina mama kutoka Turkana, Kitui na Makueni. Biashara ambayo aliianza kama njia ya kusaidia kina mama kupata soko la bidhaa
Advertisement