Back to home

Kenya na Somalia zakubaliana kurejesha ushirikiano wa kidiplomasia

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 28, 2026
1h ago
Kenya na Somalia zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kurahisisha usafiri, kufuatia mvutano uliozuka siku ya Jumapili baada ya Kenya kuwazuia baadhi ya maafisa wa Somalia, akiwemo waziri mmoja wa Somalia, kuingia nchini. Hatua hiyo ilizua malalamishi kutoka kwa
Advertisement