Back to home
Kesi ya Brian Odhiambo yaendelea Mahakama Kuu Nakuru
video
C
Citizen TV (Youtube)August 3, 2026
1h ago
Mahakama Kuu mjini Nakuru ilirejelea kesi ya kutoweka kwa mvuvi Brian Odhiambo ambapo dereva wa gari linalodaiwa kutumika kwenye operesheni hiyo alipanda kizimbani. Dereva huyo, Abdulrahman Sudi, alikuwa na wakati mgumu kuelezea matukio ya siku hiyo ambapo kwa mara kadhaa alionek
Advertisement
Advertisement





