Back to home

Jaji mkuu Martha Koome azindua mfumo mbadala wa kutafuta haki Kisii

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 4, 2026
3h ago
Jaji Mkuu Martha Koome leo amefika kaunti ya Kisii kwa shughuli ya uzinduzi wa mfumo mbadala wa kutafuta haki katika vituo mbalimbali vya mahakama kaunti ya Kisii. Koome vile vile ameandaa kikao na wadau mbalimbali wa mahakama ikiwemo viongozi wa muungano wa mawakili nchini LSK.
Advertisement