Back to home

Hospitali ya kina mama yafunguliwa eneo la Kako, Mbooni Makueni

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 5, 2026
2h ago
Wizara ya afya yasema yaendelea kushirikiana na serikali mbalimbali za kaunti kukabiliana na vifo vya kina mama na watoto wakati wa kujifungua.
Advertisement