Back to home
Serikali yaanza kukarabati bomba la maji huko Nolturesh Kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)August 5, 2026
2h ago
Serikali yaanza mipango ya kuboresha bomba la Nolturesh lisambazalo maji katika kaunti za Kajiado, Makueni na Machakos, huku uharibifu wa muundomsingi ukitajwa kuwa chanzo cha uhaba wa maji katika maeneo hayo.
Advertisement
Advertisement



