Back to home
Wanawake waongoza ukarabati wa barabara kaunti ya Kisii
video
C
Citizen TV (Youtube)August 5, 2026
1h ago
Mpango wa ujenzi wa barabara ulionzishwa na serikali ya kaunti ya Kisii miezi miwili iliyopita umewapa afueni wakazi huku zaidi ya Kilomita 950 za barabara ambazo hazikuwa zinapitika zikikarabatiwa. Tofauti na maeneo mengi, ujenzi huo unaendelezwa zaidi na wanawake ambao wameshik
Advertisement
Advertisement





