Back to home
Baraza la wazee wa Kalenjin lakemea siasa za migawanyiko
video
C
Citizen TV (Youtube)August 5, 2026
1h ago
Baraza la Wazee wa Jamii ya Kalenjin, limewataka wanasiasa kujiepusha na matamshi ya kugawanya Wakenya kwa misingi ya kisiasa au kikabila, likisema kauli za aina hiyo zinahatarisha amani na mshikamano wa kitaifa.
Advertisement
Advertisement





