Back to home
Tamasha la muziki la Kitaifa , laingia siku ya nne katika kaunti ya Bungoma
video
C
Citizen TV (Youtube)August 5, 2026
1h ago
Tamasha la Muziki la Kitaifa linaloendelea katika Chuo Kikuu cha Kibabii, kaunti ya Bungoma, limeingia siku ya nne huku ushindani mkali ukishuhudiwa kati ya wanafunzi wa shule mbalimbali.
Advertisement
Advertisement





