Back to home

Tamasha la muziki la Kitaifa , laingia siku ya nne katika kaunti ya Bungoma

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 5, 2026
1h ago
Tamasha la Muziki la Kitaifa linaloendelea katika Chuo Kikuu cha Kibabii, kaunti ya Bungoma, limeingia siku ya nne huku ushindani mkali ukishuhudiwa kati ya wanafunzi wa shule mbalimbali.
Advertisement