Back to home
Malkia Strikers tayari kupeperusha bendera ya Kenya katika mashindano ya Mataifa ya Afrika
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 5, 2026
2h ago
Timu ya taifa ya voliboli ya wanawake,Malkia Strikers wameeleza utayari wao wa kupeperusha bendera ya Kenya katika Mashindano ya Mataifa ya Afrika yatakayofanyika nchini mwezi huu, wakilenga kuimarisha safari yao kuelekea Michezo ya Olimpiki ya Los Angeles 2028.
Subscribe and w
Advertisement
Advertisement





