Back to home
Ruto kukumbana na tetemeko la kisiasa ukanda wa pwani baada ya wandani wake kukihama chama chake
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 5, 2026
2h ago
Huenda rais William Ruto na serikali yake jumuishi akakumbana na tetemeko la kisiasa ukanda wa pwani, baada ya waliyekuwa wandani wake wakuu wa zamani kumtema na kuapa kutafuta mwelekeo mbadala wa kisiasa.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and ever
Advertisement
Advertisement



