Back to home
Mahakama ya Kilifi yatoa agizo la kukamatwa kwa watu wawili kwa kukosa kufika mbele ya mahakama
video
C
Citizen TV (Youtube)August 6, 2026
2h ago
Mahakama ya Kilifi yatoa agizo la kukamatwa kwa watu wawili kwa kukosa kufika mbele ya mahakama hiyo kujibu mashtaka ya ulaghai wa kipande cha ardhi chenye thamani ya shilingi milioni 75.
Advertisement
Advertisement





