Back to home
Wakulima Embu walalamikia ugonjwa unaoshambulia miti ya makadamia
video
C
Citizen TV (Youtube)August 6, 2026
2h ago
Wakulima katika kijiji cha Ruvutiri, eneo la Embu Kaskazini, wanaitaka serikali kuingilia kati kutafuta suluhu kwa dharura kufuatia kuzuka kwa ugonjwa usiojulikana unaoshambulia miti ya makadamia. Wakulima hao wanasema wanapata hasara kubwa huku ugonjwa huo ukiendelea kuenea mash
Advertisement
Advertisement



