Back to home
Walimu wa sayansi wataka mageuzi ya kuimarisha elimu ya umilisi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 6, 2026
2h ago
Kikundi cha walimu wa masomo ya sayansi na teknolojia nchini kinatoa wito kwa Wizara ya Elimu kuweka mikakati itakayowasaidia wanafunzi kuziba pengo lililopo kati ya masomo yanayofunzwa darasani katika mfumo wa elimu unaozingatia umilisi na uzoefu halisi kwenye soko la ajira.
Advertisement
Advertisement



