Back to home
Wauguzi wakataa kurejea kazini licha ya agizo la mahakama
video
C
Citizen TV (Youtube)August 6, 2026
3h ago
Viongozi wa kitaifa wa Muungano wa Wauguzi umepuuzilia mbali wito wa kurejea kazini kufuatia agizo la makahakama wakisisitiza kuwa watarejea kazini punde tu matakwa yao yatakaposikizwa. wauguzi wanafanya maandamano jijini nairobi wakishinikiza utekelezaji wa Mkataba wa maelewano,
Advertisement
Advertisement





