Back to home

Eldoret: washukiwa wawili watiwa mbaroni baada ya mwili wa mwanamke mmoja kupatikana ndani ya gunia

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 6, 2026
1w ago
Polisi Jijini Eldoret wamewatia mbaroni Washukiwa wawili kufuatia Mauaji ya mwanamke ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umewekwa Ndani ya gunia Katika chumba kimoja Mtaa WA Kipkaren. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans
Advertisement