Back to home

Ruto abatiza upya walinzi binafsi

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 6, 2026
2h ago
Rais William Ruto leo kwa siku ya nne ameendelea kukutana na makundi mbalimbali katika ikulu ya Nairobi, leo hii akikutana na maafisa wa usalama wa kibinafsi. Kwenye kikao hicho. Rais ameagiza jina la 'Watchman' au bawabu kuondolewa kutoka kwenye sera na stakabadhi zote za serika
Advertisement