Back to home
Muungano wa matabibu katika kaunti ya Nyamira wasitisha kwa mda mgomo wao
video
C
Citizen TV (Youtube)August 7, 2026
1h ago
Muungano wa matabibu katika kaunti ya Nyamira wasitisha kwa mda mgomo wao, ili kutoa fursa kwa serikali ya kaunti kutimiza maafikiano ya msururu wa mikutano waliyoshiriki.
Advertisement
Advertisement





