Back to home
Supkem wazungumza baada kuitwa kwa mkutano kwenye ikulu ya Nairobi
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 7, 2026
1h ago
Baada ya maelefu ya maimamu kuitwa kwa mkutano kwenye ikulu ya Nairobi wiki hii, kundi la waislamu na baadhi ya viongozi wa Supkem wanatarajiwa kuzungumzia kuhusu mwaliko huo ambao umeibua maswali kadhaa haswa kuhusu kushawishiwa kwa wana dini kisiasa.
Subscribe and watch NTV
Advertisement
Advertisement





