Back to home

Martha Koome arai wakaazi wa Bungoma kutafuta haki kupitia mifumo mbadala ya utoaji haki

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 7, 2026
5h ago
Jaji Mkuu mkuu Martha Koome amesema ni asilimia 17 pekee ya wakazi wa Kaunti ya Bungoma ndio wanaotafuta haki kupitia mahakama huku takriban asilimia 64 wakitumia mifumo mbadala ya utoaji haki. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told
Advertisement