Back to home
Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Nasibo Tadicha afikishwa mahakamani
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 7, 2026
5h ago
Mshukiwa mkuu katika mauaji ya kikatili ya msichana mwenye umri wa miaka 19, Nasibo Tadicha, yaliyotokea mwezi uliopita katika eneo la Malkagalla kaunti ya Isiolo, amefikishwa mbele ya mahakama kujibu mashtaka yanayomkabili.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan
Advertisement
Advertisement





