Back to home
Linda Mwananchi yatishia maandamano kuhusu usajili wa chama
video
C
Citizen TV (Youtube)August 7, 2026
1h ago
Kundi la Linda Mwananchi limetishia kuandamana kuanzia Jumatatu katika afisi za Msajili wa Vyama vya Kisiasa endapo halitasajiliwa kama chama cha kisiasa. Kundi hilo linadai kuna njama za kulinyima jina la chama hicho. Haya yanajiri huku kinara wake, Seneta Edwin Sifuna, akisisit
Advertisement
Advertisement





