Back to home

Harambee Starlets warejea nchini baada ya kuondolewa WAFCON

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 8, 2026
2h ago
Timu ya taifa ya wanawake ya Kenya, Harambee Starlets, ilirejea nchini jana usiku baada ya kuondolewa katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) katika hatua ya makundi.
Advertisement