Back to home

Wanaharakati Taita Taveta wataka serikali iunge mkono mnara wa kumbukumbu

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 10, 2026
1h ago
Wanaharakati wa kijamii kaunti ya Taita Taveta wameitaka serikali ya kaunti hiyo kuunga mkono ujenzi wa mnara wa kuwakumbuka maaskari wa kiafrika waliofariki katika vita vya kwanza vya dunia. Hii ni baada ya serikali ya kaunti kupinga ujenzi wa mradi huo wa shilingi bilioni 40 am
Advertisement