Back to home
KCPA tawi la Pwani laitaka serikali kuajiri wanasaikolojia zaidi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 10, 2026
1h ago
Chama cha washauri wa kisaikolojia nchini (KCPA) tawi la Pwani kinazitaka serikali ya kitaifa na za kaunti kuajiri wanasaikolojia zaidi ili kukabiliana na ongezeko la visa vya changamoto za afya ya akili nchini.
Advertisement
Advertisement




