Back to home
Dokota awataka wakazi wa Tana river kujisajili kama wapiga kura
video
C
Citizen TV (Youtube)August 10, 2026
1h ago
Katibu wa idara ya serikali kuhusu baraza la mawaziri Idris Dokota amewataka wenyeji wa kaunti ya Tana River kujisajili na kupata vitambulisho vya kitaifa na kujisajili kama wapiga kura ili kupata fursa ya kuchangia kwenye maamuzi ya uongozi nchini.
Advertisement
Advertisement





