Back to home
Kevin Mubadi awataka wanabodaboda kujiepusha na wanasiasa wanaowatumia kuzua fujo na vurugu
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 11, 2026
1h ago
Mwenyekiti wa kitaifa wa Muungano wa Wanabodaboda, Kevin Mubadi, amewataka wanabodaboda kujiepusha na wanasiasa wanaowatumia kuzua fujo na vurugu wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka ujao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by
Advertisement
Advertisement





