Back to home

Busia: Wafanyabiashara waelezea umuhimu wa wapiga kura kuzingatia viongozi wanaoleta maendeleo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 11, 2026
1h ago
Wavuvi na wafanyabiashara wa samaki na omena katika ufuo wa Sinyenye, Ziwa Victoria, eneo bunge la Budalang’i, Kaunti ya Busia, wameelezea umuhimu wa wapiga kura kuzingatia viongozi wanaoleta maendeleo badala ya wale wanaotoa pesa wakati wa kampeni. Subscribe and watch NTV Ken
Advertisement