Back to home

Kalonzo aishtumu serikali kwa kuchangia kuzoroteka Kwa sekta ya majani chai nchini

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 11, 2026
2h ago
Kalonzo Musyoka ameishtumu serikali Kwa kuchangia kuzoroteka Kwa sekta ya majani chai nchini, akidai serikali inahusika na usafirishaji wa silaha nchini Sudan hatua ambayo imesababisha zao hilo kupigwa marufuku nchini humo. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan n
Advertisement